But if We give them a taste of prosperity after being touched with adversity, they say, “My ills are gone,” and become totally prideful and boastful,
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Na lau tutamnyoshea mwanadamu dunia yake na tukamkunjulia riziki yake baada ya dhiki za maisha, atasema hapo, «Nimeondokewa na dhiki na shida.» Hakika yeye ni mwenye kujigamba kwa hizo neema, ni mwenye kuendelea sana katika kujifahiri na kujitukuza kwa watu.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel