And O my people! This she-camel of Allah is a sign for you.1 So leave her to graze ˹freely˺ on Allah’s earth and do her no harm, or a swift punishment will overtake you!”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
«Na enyi watu wangu, huyu ni ngamia wa Mwenyezi Mungu, Amemjaalia ni hoja na alama ya kuonesha ukweli wangu katika yale ninayowaitia. Basi muacheni ale katika ardhi ya Mawenyezi Mungu, kwani chakula chake hakiko juu yenu. Na wala msimguse kumchinja, kwani nyinyi mkifanya hivyo itawapata adhabu kutoka Kwake kwa muda mfupi baada kumchinja.»
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel