And if We delay their punishment until an appointed time, they will definitely say, “What is holding it back?” Indeed, on the Day it overtakes them, it will not be averted from them, and they will be overwhelmed by what they used to ridicule.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Na lau tutawacheleweshea adhabu, hawa washirikina, mpaka muda maalumu, wakaona imekawia, watasema kwa njia ya shere na kukanusha, «Ni kitu gani kinachozuia adhabu hii isitukie ikiwa ni kweli?» Jueni mtanabahi, siku itakapowajia adhabu hiyo hakuna atakayeweza kuwaondolea, wala yoyote mwenye kuizuia, na iatawazunguka wao, kutoka kila upande, adhabu waliokuwa wakiifanyia shere kabla haijawajia..
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel