It is the same ˹to Him˺ whether any of you speaks secretly or openly, whether one hides in the darkness of night or goes about in broad daylight.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Analingana, katika ujuzi Wake Aliyetukuka, yule anayesirisha maneno, katika nyinyi, na anayedhihirisha. Na analingana Kwake yule anayefanya matendo yake kwa siri ndani ya giza la usiku na yule mwenye kuyafanya waziwazi kwenye mwangaza wa mchana.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel