This is because they prefer the life of this world over the Hereafter. Surely Allah never guides those who ˹choose to˺ disbelieve.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Hiyo ni kwa sababu ya kuchagua kwao dunia na pambo lake na kuifanya kwao hiyo dunia kuwa ni bora kuliko Akhera na malipo yake na kwamba Mwenyezi Mungu Hawaongozi makafiri wala hawaelekezi kwenye haki na usawa.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel