On that Day all will follow the caller ˹for assembly˺, ˹and˺ none will dare to deviate. All voices will be hushed before the Most Compassionate. Only whispers1 will be heard.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Katika siku hiyo, watu wataifuata sauti ya mlinganizi kuelekea kwenye kisimamo cha Kiyama, hakuna njia ya kuepuka ulinganizi wa mwenye kulingania, kwani huo ni haki na kweli kwa viumbe wote. Hapo sauti zitatulia kwa kumnyenyekea Mwingi wa rehema, hutasikia kutoka kwao isipokuwa sauti ya ndani isiyosikika.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel