He said, “I saw what they did not see, so I took a handful ˹of dust˺ from the hoof-prints of ˹the horse of˺ the messenger-angel ˹Gabriel˺ then cast it ˹on the moulded calf˺. This is what my lower-self tempted me into.”1
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Sāmirīy akasema, «Nilimuona ambaye hawakumuona, naye ni Jibrili, amani imshukiye, juu ya farasi, wakati walipotoka baharini na Fir'awn akazamishwa na askari wake, hapo niliteka kwa kitanga changu cha mkono mchanga wa athari ya kwato za farasi wa Jibrili nikaurusha kwenye pambo ambalo kwalo nimetengeneza kigombe, kikawa ni kigombe chenye mwili, chenye kutoa sauti ya ng’ombe, na kikawa ni kisirani na mtihani. Kufanya hivyo ndivyo nafsi yangu inayoamrisha maovu ilivyonipambia.»
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel