But the hearts of those ˹who disbelieve˺ are oblivious to ˹all of˺ this,1 and they have other ˹evil˺ deeds, opposite to this, in which they are engrossed.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Lakini nyoyo za makafiri ziko kwenye upotevu uliowafinika, zimejiepusha na Qur’ani na yaliyomo ndani yake. Na wao, pamoja na ushirikina wao, wana matendo mabaya, Mwenyezi Mungu Anawapa muhula wayafanye, ili ziwapate wao hasira za Mwenyezi Mungu na mateso Yake.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel