˹The doomed will be told˺, “Your gods have clearly denied your claims. So now you can neither ward off ˹the punishment˺ nor get any help.” And whoever of you does wrong, We will make them taste a horrible punishment.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Hapo waambiwe washirikina, «Kwa kweli, wamewakanusha nyinyi, hawa mliowaabudu kwenye madai yenu juu yao. Enyi hawa, nyinyi hamuwezi kuzikinga nafsi zenu na adhabu wala kuziokoa. Na mwenye kumshirikisha Mwenyezi Mungu, akajidhulumu nafsi yake, akamuabudu asiyekuwa Mwenyezi Mungu na akafa katika hali hiyo, mwenyezi Mungu Atamuadhibu adhabu kali.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel