Or do you think that most of them listen or understand?1 They are only like cattle—no, more than that, they are astray from the ˹Right˺ Way!2
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Au unadhani kwamba wengi wao wanazisikia aya za Mwenyezi Mungu, kusikia kwa kuzingatia, au wanayaelewa yaliyomo ndani yake? Hawakuwa isipokuwa ni kama wanyama, katika kutonufaika kwa wanayoyasikia, bali wao wamepotea njia zaidi kuliko hao wanyama.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel