And the people of ’Ȃd and Thamûd ˹met a similar fate˺, which must be clear to you ˹Meccans˺ from their ruins.1 Satan made their ˹evil˺ deeds appealing to them, hindering them from the ˹Right˺ Way, although they were capable of reasoning.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Na tukawaangamiza kina 'Ād na Thamūd, na yameshaonekana na nyinyi magofu ya nyumba zao, vile yalivyokuwa matupu, hayana mtu yoyote katika wakazi wake, na vile mateso yetu yalivyowashukia wao wote. Na Shetani aliwapambia wao matendo yao maovu, na kwa hivyo akawazuia wasiifuate njia ya Mwenyezi Mungu na njia ya kumuamini Yeye na Mitume Wake, na walikuwa wakijiongoza kuona njia katika ukafiri wao na upotevu wao wakijifurahisha nayo, wakidhani kwamba wao wako kwenye uongofu na usawa, ilhali wao wamezama kwenye upotevu.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel