They will ˹then˺ cry, “We do ˹now˺ believe in it ˹all˺.” But how could they ˹possibly˺ attain faith from a place so far-off ˹from the world˺,1
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Na wakanushaji watasema watakapoiona adhabu huko Akhera, «Tumemuamini Mwenyezi Mungu, Vitabu Vyake na Mitume Wake. Vipi wao waipate Imani na hali ni kwamba kuifikia kwao hiyo Imani ni kutoka mahali mbali?» kushawekwa kizuizi baina yao na hiyo, kwani mahali pake ni ulimwenguni, na huko walikanusha.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel