˹The misleaders will say to one another,˺ “Here is a crowd ˹of followers˺ being thrown in with us. They are not welcome, ˹for˺ they ˹too˺ will burn in the Fire.”1
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Na watakapoufikia Moto, hao wenye kupita vipimo katika uasi, watatukanana wao kwa wao na watasema baadhi yao kuwaambia wengine, «Hili ni kundi kubwa la watu wa Motoni ni wenye kuingia pamoja na nyinyi.» Na wao wajibu, «Hawana makaribisho mema wala nyumba zao haziwaenei ndani ya Moto. Wao ni wenye kuungulika kwa joto lake kama tunavyoungulika sisi.»
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel