And do not be like those who split ˹into sects˺ and differed after clear proofs had come to them. It is they who will suffer a tremendous punishment.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Na wala msiwe, enyi Waumini, kama waliopewa vitabu, ambao ulizuka uadui kati yao na kuchukiana, wakatengana makundi na vyama mbalimbali na wakatafautiana kwenye misingi ya dini yao baada ya haki kuwa wazi kwao. Na hao wanastahili adhabu kubwa iumizayo.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel