Their reward is forgiveness from their Lord and Gardens under which rivers flow, staying there forever. How excellent is the reward for those who work ˹righteousness˺!
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Hao waliosifiwa kwa sifa hizo, malipo yao ni kwamba Mwenyezi Mungu Atayasitiri madhambi yao na watapata mabustani ya Peponi ambayo maji tamu yatakuwa yanapita chini ya miti yake na majumba yake ya fahari, ilhali ya kukaa humo milele; hawatotoka humo kamwe. Na malipo bora ya wenye kutenda mema ni msamaha na Pepo.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel