And Allah judges with the truth, while those ˹idols˺ they invoke besides Him cannot judge at all. Indeed, Allah ˹alone˺ is the All-Hearing, All-Seeing.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Na Mwenyezi Mungu Anahukumu baina ya watu kwa uadilifu kwa kumpa kila mtu haki yake. Na wale waungu wanaoabudiwa badala ya Mwenyezi Mungu, hawahukumu chochote kwa kutoweza kwao kufanya hivyo. Hakika Mwenyezi Mungu Ndiye Mwenye kuyasikia maneno ya waja Wake, Ndiye Mwenye kuyaona matendo wanayoyafanya, na Atawalipa kwayo.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel