Surely those who say, “Our Lord is Allah,” and then remain steadfast, the angels descend upon them,1 ˹saying,˺ “Do not fear, nor grieve. Rather, rejoice in the good news of Paradise, which you have been promised.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Hakika ya wale waliosema, «Mola wetu ni Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, Peke Yake kisha wakasimama imara kufuata Sheria Yake, Malaika watawateremkia wakati wa kufa waseme kuwaambia, «Msiogopeni kufa na yatakayokuwa baada yake, wala msiwe na masikitiko juu ya yale mtakayoyaacha nyuma yenu katika mambo ya kilimwengu, na furahikeni kwa Pepo ambyo mlikuwa mkiahidiwa.»
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel