As for those who dispute about Allah after He is ˹already˺ acknowledged ˹by many˺, their argument is futile in the sight of their Lord. Upon them is wrath, and they will suffer a severe punishment.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Na wale wanaojadili kuhusu Dini ya Mwenyezi Mungu niliyomtumiliza kwayo Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, baada ya watu kuikubali na kusilimu, hoja yao na mjadala wao, mbele ya Mola wao, ni zenye kutenguka na kuondoka. Na watashukiwa na adhabu kutoka kwa Mwenyezi Mungu hapa duniani, na huko Akhera watakuwa na adhabu kali, nayo ni Moto.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel