˹All were˺ messengers delivering good news and warnings so humanity should have no excuse before Allah after ˹the coming of˺ the messengers. And Allah is Almighty, All-Wise.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Nimweatuma wajumbe kwa viumbe wangu wakatoe habari njema ya malipo yangu mema na waonye juu ya adhabu yangu, ili wanadamu wasiwe na hoja watakayoifanya ni kisingizio cha udhuru baada ya kutumiliza Mitume. Na daima Mwenyezi Mungu ni Mshindi katika mamlaka Yake, ni Mwingi wa hekima katika uendeshaji mambo Wake.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel