The disbelievers claim they will not be resurrected. Say, ˹O Prophet,˺ “Yes, by my Lord, you will surely be resurrected, then you will certainly be informed of what you have done. And that is easy for Allah.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Walidai wale waliomkanusha Mwenyezi Mungu kwa ubatilifu kwamba wao hawatatolewa kwenye makaburi yao baada ya kufa. Waambie, ewe Mtume, «Ndio. Naapa kwa Mola wangu! Mtatolewa makaburini mwenu mkiwa hai, kisha mtapewa habari ya yale mliyoyafanya duniani. Na hilo kwa Mwenyezi Mungu ni sahali na rahisi.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel