so that the hearts of those who disbelieve in the Hereafter may be receptive to it, be pleased with it, and be persistent in their evil pursuits.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Na ili zielekee huko nyoyo za makafiri ambao hawaamini maisha ya Akhera wala hawayafanyii matendo ya kuwafaa, na ili nafsi zao zipate kuyapenda, na ili wapate kuyafanya maovu ambayo wao ni wenye kuyafanya. Katika haya, pana onyo kubwa kwao.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel