˹My duty is˺ only to convey ˹the truth˺ from Allah and ˹deliver˺ His messages.” And whoever disobeys Allah and His Messenger will certainly be in the Fire of Hell, to stay there for ever and ever.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Ninachokiweza mimi na kukimiliki ni kuwafikishia kutoka kwa Mwenyezi Mungu kile Alichoniamrisha niwafikishie na ujumbe Wake ambao Alinituma niwaletee. Na mwenye kumuasi Mwenyezi Mungu na Mtume Wake na akaipa mgongo Dini ya Mwenyezi Mungu, basi malipo yake ni moto wa Jahanamu ambao hatatoka humo milele.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel