˹This is˺ a Book sent down to you ˹O Prophet˺—do not let anxiety into your heart regarding it—so with it you may warn ˹the disbelievers˺, and as a reminder to the believers.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Hii Qur’ani ni Kitabu kitukufu, Mwenyezi Mungu Amekiteremsha kwako, ewe Mtume. Basi pasiwe na shaka katika kifua chako kwamaba imeteremshwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Na usiwe na wasiwasi katika kuifikisha kwa watu na kuwaonya nayo. Tumeiteremsha kwako ili uwatishe nayo makafiri na uwakumbushe Waumini.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel