Are these ˹humble believers˺ the ones you swore would never be shown Allah’s mercy?” ˹Finally, those on the heights will be told:˺ “Enter Paradise! There will be no fear for you, nor will you grieve.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Je madhaifu na mafukara hawa, kati ya watu wa Peponi, ndio wale mlioapa huko duniani kwamba Mwenyezi Mungu Hatawakusanya Siku ya Kiyama Awatie kwenye rehema na Hatawaingiza Peponi? Ingieni Peponi, enyi watu wa Al- A'rāf, hakika mumesamehewa; hamna tene kicho cha kupata adhabu ya Mwenyezi Mungu, wala hamtahuzunika juu ya hadhi za duniani zilizowapita.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel