They disputed with you about the truth after it had been made clear, as if they were being driven to death with their eyes wide open.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Likawa linabishana na wewe, ewe Nabii, kundi hilo la Waumini kuhusu kupigana baada ya kuonekana wazi kwamba hilo ni lenye kutukia, wakawa kama kwamba wao wanaongozwa kupelekwa kwenye kifo na hali wakikitazama waziwazi.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel