Say, ˹O Prophet,˺ “˹Whether you˺ donate willingly or unwillingly, it will never be accepted from you, for you have been a rebellious people.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Sema, ewe Nabii, kuwaambia wanafiki, «Toeni mali zenu vile mtakavyo na namna mtakavyo, kwa hiari yenu au kwa kulazimishwa, Mwenyezi Mungu hatavikubali kutoka kwenu mnavyovitoa, kwa kuwa nyinyi ni watu mliotoka kwenye dini ya Mwenyezi Mungu na utiifu Kwake.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel