Nor ˹is there any blame on˺ those who came to you ˹O Prophet˺ for mounts, then when you said, “I can find no mounts for you,” they left with eyes overflowing with tears out of grief that they had nothing to contribute.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Pia hapana makosa kwa wale ambao wakikujia kutaka uwasaidie kuwachukua kwenda kwenye jihadi, unawaambia, «Sina wanyama wa mimi kuwapatia muwapande», hapo wakakuacha na kugeuka kwenda zao, na macho yao yanabubujika machozi kwa masikitiko ya kukosa utukufu wa jihadi na thawabu zake kwa kuwa hawakupata cha kutumia na cha kuwabeba lau walitoka kwenda kupigana jihadi katika njia ya Mwenyezi Mungu.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel