[Los hipócritas] se escudan en sus juramentos para apartar [a algunas personas] del sendero de Dios. ¡Qué pésimo es lo que hacen!
Tafsires
Capas
Lecciones
Reflexiones.
Respuestas
Qiraat
Hadith
Ukweli ni kwamba wanafiki wamevifanya viapo vyao wanavyoviapa ni kinga na ngao ya kuwakinga wasihukumiwe na kuadhibiwa, na wamejizuia wenyewe na kuwazuia watu njia ya mwenyezi Mungu iliyonyoka. Kwa kweli wao, ni maovu mno yale ambayo walikuwa wakiyafanya,
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel