آیا (کسانیکه راه اسلام نمیپویند و در زمین فساد میکنند) جز این انتظار ندارند، که الله (برای داوری و قضاوت میان بندگان) در سایههایی از ابرها به سوی آنان بیاید. و (نیز) فرشتگان (برای اجرا فرمان الهی بیایند) و کار یکسره شود؟! و کارها به سوی الله برگردانده میشود.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hawangojei hawa wakaidi wenye kukanusha, baada ya kusimama dalili wazi, isipokuwa Awajie Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka na kushinda, kwa namna inayolingana na Yeye, Aliyetakasika na kila sifa mbaya, katika vivuli vya Mawingu Siku ya Kiyama ili Aamue baina yao kwa hukumu adilifu, na waje Malaika. Wakati huo, Atahukumu Mwenyezi Mungu, kati yao, hukumu Yake. Na kwake Yeye Peke Yake hurudishwa mambo yote ya viumbe.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel