پس هر کس که بعد از این (پیمان) روی گرداند، آنانند که فاسق و نافرمانند».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Basi mwenye kuupa mgongo ulinganizi wa Uislamu baada ya maelezo haya na ahadi hii Aliyoichukuwa Mwenyezi Mungu kutoka kwa Manabii Wake, hao ndio wenye kutoka nje ya dini ya Mwenyezi Mungu na twaa ya Mola wao.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel