یقیناً (این) کتاب را بحق بر تو نازل کردیم. تا به آنچه الله به تو آموخته در میان مردم داوری کنی، و مدافع (و حمایتکننده) خائنان مباش.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Sisi tumekuteremshia Qur’ani, ewe Muhammad, iliyokusanya haki, ili utoe uamuzi baina ya watu wote kwa wahyi ambao Mwenyezi Mungu Amekuletea na Akakufahamisha. Basi usiwe ni mwenye kuwatetea wale wanaozifanyia hiana nafsi zao, kwa kuificha haki, kwa kuwa wamekudhihirishia maneno yaliyo kinyume na ukweli.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel