و هر گاه، خویشاوندان و یتیمان و مستمندان بر تقسیم (میراث) حاضر شدند، (چیزی) از آن (اموال) به آنان بدهید، و با آنان بطور شایسته و نیک سخن بگویید.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Watakapohudhuria, kikao chakugawanywa urithi, jamaa wa maiti wa karibu wasiokuwa na haki ya kurithi au waliofiwa na baba zao nao ni wadogo au wasiokuwa na mali, basi wapeni chochote katika mali hayo, kwa njia ya kuwapumbaza, kabla mali hayajagawanywa kwa wenyewe. Na waambieni neno zuri lisilokuwa chafu wala baya.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel