Faudrait-il chaque fois qu’ils concluent un pacte, qu’une partie d’entre eux le dénonce? C’est que plutôt la plupart d’entre eux ne sont pas croyants.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Ni ubaya ulioje wa hali ya Wana wa Isrāīl katika kuvunja kwao ahadi! Kila wanapotoa ahadi, kinatoka kikundi cha watu katika wao wakaitupa na wakaivunja. Utawaona wanaifunga ahadi leo na kuitangua kesho. Bali wengi wao hawayaamini aliyokuja nayo Nabii wa Mwenyezi Mungu na Mtume wake Muhammad, rehema na amani zimshukiye yeye.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel