"Seigneur, dit Zacharie, donne-moi un signe !" - "Ton signe, dit Allah, c’est que pendant trois jours tu ne pourras parler aux gens que par gestes. Invoque [donc] beaucoup Ton Seigneur et glorifie-Le, en fin et en début de journée."
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Zakariyyā akasema, «Mola wangu, nijaalia alama ambayo itakuwa ni dalili kwangu ya kupata matoto ili nipate kuingiwa na furaha na bashasha.» Akasema, «Alama yako uliyoitaka ni kutoweza kusema na watu kwa siku tatu isipokuwa kwa kuwashiria, pamoja na kuwa wewe uko sawa na mzima. Na katika kipindi hiki, kithirisha kumataja Mola wako na umswaliye katika nyakati za mwisho wa mchana na mwanzo wake.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel