Nous n’envoyons des Messagers qu’en annonciateurs et avertisseurs : donc ceux qui croient et se réforment, nulle crainte sur eux et ils ne seront point affligés.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na hatuwatumi wajumbe wetu isipokuwa wenye kuwapa bishara njema wenye kututii kuwa watakuwa na starehe ya daima, na kuwapa onyo wenye kuasi kuwa watakuwa na adhabu kali. Basi mwenye kuamini, akawasadiki mitume na akafanya mema, hao hawataogopa wakati wa kukutana na Mola wao wala hawatakuwa na masikitiko juu ya chochote walichokikosa miongoni mwa hadhi za kilimwengu.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel