Nei loro cuori c’è una malattia 1 e Allah ha aggravato questa malattia. Avranno un castigo doloroso per la loro menzogna.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Ndani ya nyoyo zao kuna shaka na uharibifu, ndipo wakaomjwa kwa kufanya maasia yenye kuwafanya wastahiki kuadhibiwa, na Mwenyezi Mungu akawazidishia shaka. Watakuwa na adhabu yenye uchungu kwa sababu ya urongo na unafiki wao.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel