Diranno: «L’ha inventato?» 1 . È invece una verità che [proviene] dal tuo Signore, affinché tu ammonisca 2 un popolo 3 a cui non giunse, prima di te, alcun ammonitore, affinché si lascino guidare.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Kwani je, wanasema washirikina kuwa Muhammad Ameizua Qur’ani? Wamesema urongo, bali hiyo Qur’ani ndiyo ukweli uliothibiti ulioteremshwa kwako, ewe Mtume, kutoka kwa Mola wako, ili uwaonye nayo watu ambao hawakujiwa na muonyaji kabla yako wewe, huenda wao wakaongoka: wakaijua haki, wakaiamini, wakaitanguliza na wakakuamini wewe.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel