Guidammo i Thamùd, ma preferirono l’accecamento alla guida. La folgore del castigo umiliante li colpì per quel che si erano meritati.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na ama hao Thamūd, watu wa Ṣāliḥ, kwa hakika tuliwabainishia njia ya uongofu na usawa, wakafadhilisha upofu juu ya uongofu, kikawaangamiza wao kimondo cha adhabu yenye kutweza kwa sababu ya dhambi waliokuwa wakizitenda kwa kumkufuru kwao Mwenyezi Mungu na kuwakanusha Mitume Wake.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel