Que não e maravilhem os seus bens, nem os seus filhos, porque Deus somente quer, comisso, atormentá-los na vidaterrena e fazer com que suas almas pereçam na incredulidade.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Zisikushangaze, ewe Nabii, mali za wanafiki hawa wala watoto wao. Hakika Mwenyezi Mungu Anataka kuwaadhibu kwa hizo hapa ulimwenguni, kwa tabu ya kuzipata na kwa mikasa inayozifikia kwa kuwa yatokeyapo hayo hawatarajii malipo mema kwa Mwenyezi Mungu, na zitoke nafsi zao wapate kufa juu ya kumkanusha Mwenyezi Mungu na Mtume Wake.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel