Ingia
Ingia
Ingia
Chagua Lugha

Rudi kwenye kitufe cha Gundua

The Companions of the Thicket in the Quran

The Companions of the Thicket in the Quran
وان كان اصحاب الايكة لظالمين ٧٨ فانتقمنا منهم وانهما لبامام مبين ٧٩
وَإِن كَانَ أَصْحَـٰبُ ٱلْأَيْكَةِ لَظَـٰلِمِينَ ٧٨ فَٱنتَقَمْنَا مِنْهُمْ وَإِنَّهُمَا لَبِإِمَامٍْ مُّبِينٍْ ٧٩

وَإِن
كَانَ
أَصۡحَٰبُ
ٱلۡأَيۡكَةِ
لَظَٰلِمِينَ
٧٨
فَٱنتَقَمۡنَا
مِنۡهُمۡ
وَإِنَّهُمَا
لَبِإِمَامٖ
مُّبِينٖ
٧٩

Na hakika watu wa Kichakani walikuwa wenye kudhulumu. (78) Kwa hivyo tukawaadhibu. Na nchi mbili hizi ziko kwenye njia ilio wazi. (79)
–Sura Al-Hijr [15:78-79]
وثمود وقوم لوط واصحاب الايكة اولايك الاحزاب ١٣ ان كل الا كذب الرسل فحق عقاب ١٤
وَثَمُودُ وَقَوْمُ لُوطٍْ وَأَصْحَـٰبُ لْـَٔيْكَةِ ۚ أُوْلَـٰٓئِكَ ٱلْأَحْزَابُ ١٣ إِن كُلٌّ إِلَّا كَذَّبَ ٱلرُّسُلَ فَحَقَّ عِقَابِ ١٤

وَثَمُودُ
وَقَوۡمُ
لُوطٖ
وَأَصۡحَٰبُ
لۡـَٔيۡكَةِۚ
أُوْلَٰٓئِكَ
ٱلۡأَحۡزَابُ
١٣
إِن
كُلٌّ
إِلَّا
كَذَّبَ
ٱلرُّسُلَ
فَحَقَّ
عِقَابِ
١٤

Na Thamud na kaumu Lut'i na watu wa Machakani. Hayo ndiyo makundi. (13) Hao wote waliwakadhibisha Mitume; basi wakastahiki adhabu yangu. (14)
–Sura Sad [38:13-14]
واصحاب الايكة وقوم تبع كل كذب الرسل فحق وعيد ١٤
وَأَصْحَـٰبُ ٱلْأَيْكَةِ وَقَوْمُ تُبَّعٍْ ۚ كُلٌّۭ كَذَّبَ ٱلرُّسُلَ فَحَقَّ وَعِيدِ ١٤

وَأَصۡحَٰبُ
ٱلۡأَيۡكَةِ
وَقَوۡمُ
تُبَّعٖۚ
كُلّٞ
كَذَّبَ
ٱلرُّسُلَ
فَحَقَّ
وَعِيدِ
١٤

Na wakaazi wa Machakani, na watu wa Tubbaa'. Wote hao waliwakanusha Mitume, kwa hivyo onyo likathibitika juu yao.
–Sura Qaf [50:14]
كذب اصحاب الايكة المرسلين ١٧٦ اذ قال لهم شعيب الا تتقون ١٧٧ اني لكم رسول امين ١٧٨ فاتقوا الله واطيعون ١٧٩ وما اسالكم عليه من اجر ان اجري الا على رب العالمين ١٨٠ ۞ اوفوا الكيل ولا تكونوا من المخسرين ١٨١ وزنوا بالقسطاس المستقيم ١٨٢ ولا تبخسوا الناس اشياءهم ولا تعثوا في الارض مفسدين ١٨٣ واتقوا الذي خلقكم والجبلة الاولين ١٨٤
كَذَّبَ أَصْحَـٰبُ لْـَٔيْكَةِ ٱلْمُرْسَلِينَ ١٧٦ إِذْ قَالَ لَهُمْ شُعَيْبٌ أَلَا تَتَّقُونَ ١٧٧ إِنِّى لَكُمْ رَسُولٌ أَمِينٌۭ ١٧٨ فَٱتَّقُواْ ٱللَّهَ وَأَطِيعُونِ ١٧٩ وَمَآ أَسْـَٔلُكُمْ عَلَيْهِ مِنْ أَجْرٍ ۖ إِنْ أَجْرِىَ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّ ٱلْعَـٰلَمِينَ ١٨٠ ۞ أَوْفُواْ ٱلْكَيْلَ وَلَا تَكُونُواْ مِنَ ٱلْمُخْسِرِينَ ١٨١ وَزِنُواْ بِٱلْقِسْطَاسِ ٱلْمُسْتَقِيمِ ١٨٢ وَلَا تَبْخَسُواْ ٱلنَّاسَ أَشْيَآءَهُمْ وَلَا تَعْثَوْاْ فِى ٱلْأَرْضِ مُفْسِدِينَ ١٨٣ وَٱتَّقُواْ ٱلَّذِى خَلَقَكُمْ وَٱلْجِبِلَّةَ ٱلْأَوَّلِينَ ١٨٤

كَذَّبَ
أَصۡحَٰبُ
لۡـَٔيۡكَةِ
ٱلۡمُرۡسَلِينَ
١٧٦
إِذۡ
قَالَ
لَهُمۡ
شُعَيۡبٌ
أَلَا
تَتَّقُونَ
١٧٧
إِنِّي
لَكُمۡ
رَسُولٌ
أَمِينٞ
١٧٨
فَٱتَّقُواْ
ٱللَّهَ
وَأَطِيعُونِ
١٧٩
وَمَآ
أَسۡـَٔلُكُمۡ
عَلَيۡهِ
مِنۡ
أَجۡرٍۖ
إِنۡ
أَجۡرِيَ
إِلَّا
عَلَىٰ
رَبِّ
ٱلۡعَٰلَمِينَ
١٨٠
۞ أَوۡفُواْ
ٱلۡكَيۡلَ
وَلَا
تَكُونُواْ
مِنَ
ٱلۡمُخۡسِرِينَ
١٨١
وَزِنُواْ
بِٱلۡقِسۡطَاسِ
ٱلۡمُسۡتَقِيمِ
١٨٢
وَلَا
تَبۡخَسُواْ
ٱلنَّاسَ
أَشۡيَآءَهُمۡ
وَلَا
تَعۡثَوۡاْ
فِي
ٱلۡأَرۡضِ
مُفۡسِدِينَ
١٨٣
وَٱتَّقُواْ
ٱلَّذِي
خَلَقَكُمۡ
وَٱلۡجِبِلَّةَ
ٱلۡأَوَّلِينَ
١٨٤

Watu wa Machakani waliwakanusha Mitume. (176) Shuaibu alipo waambia: Je! Hamfanyi mkamchamngu? (177) Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu. (178) Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi. (179) Wala sikutakini ujira juu yake. Ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote. (180) Timizeni kipimo sawa sawa, wala msiwe katika wanao punja. (181) Na pimeni kwa haki iliyo nyooka; (182) Wala msiwapunje watu vitu vyao, wala msifanye jeuri kwa ufisadi. (183) Na mcheni aliye kuumbeni nyinyi na vizazi vilivyo tangulia. (184)
–Sura Ash-Shu'ara [26:176-184]
قالوا انما انت من المسحرين ١٨٥ وما انت الا بشر مثلنا وان نظنك لمن الكاذبين ١٨٦ فاسقط علينا كسفا من السماء ان كنت من الصادقين ١٨٧ قال ربي اعلم بما تعملون ١٨٨ فكذبوه فاخذهم عذاب يوم الظلة انه كان عذاب يوم عظيم ١٨٩ ان في ذالك لاية وما كان اكثرهم مومنين ١٩٠ وان ربك لهو العزيز الرحيم ١٩١
قَالُوٓاْ إِنَّمَآ أَنتَ مِنَ ٱلْمُسَحَّرِينَ ١٨٥ وَمَآ أَنتَ إِلَّا بَشَرٌۭ مِّثْلُنَا وَإِن نَّظُنُّكَ لَمِنَ ٱلْكَـٰذِبِينَ ١٨٦ فَأَسْقِطْ عَلَيْنَا كِسَفًۭا مِّنَ ٱلسَّمَآءِ إِن كُنتَ مِنَ ٱلصَّـٰدِقِينَ ١٨٧ قَالَ رَبِّىٓ أَعْلَمُ بِمَا تَعْمَلُونَ ١٨٨ فَكَذَّبُوهُ فَأَخَذَهُمْ عَذَابُ يَوْمِ ٱلظُّلَّةِ ۚ إِنَّهُۥ كَانَ عَذَابَ يَوْمٍ عَظِيمٍ ١٨٩ إِنَّ فِى ذَٰلِكَ لَـَٔايَةًۭ ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ ١٩٠ وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ ٱلْعَزِيزُ ٱلرَّحِيمُ ١٩١

قَالُوٓاْ
إِنَّمَآ
أَنتَ
مِنَ
ٱلۡمُسَحَّرِينَ
١٨٥
وَمَآ
أَنتَ
إِلَّا
بَشَرٞ
مِّثۡلُنَا
وَإِن
نَّظُنُّكَ
لَمِنَ
ٱلۡكَٰذِبِينَ
١٨٦
فَأَسۡقِطۡ
عَلَيۡنَا
كِسَفٗا
مِّنَ
ٱلسَّمَآءِ
إِن
كُنتَ
مِنَ
ٱلصَّٰدِقِينَ
١٨٧
قَالَ
رَبِّيٓ
أَعۡلَمُ
بِمَا
تَعۡمَلُونَ
١٨٨
فَكَذَّبُوهُ
فَأَخَذَهُمۡ
عَذَابُ
يَوۡمِ
ٱلظُّلَّةِۚ
إِنَّهُۥ
كَانَ
عَذَابَ
يَوۡمٍ
عَظِيمٍ
١٨٩
إِنَّ
فِي
ذَٰلِكَ
لَأٓيَةٗۖ
وَمَا
كَانَ
أَكۡثَرُهُم
مُّؤۡمِنِينَ
١٩٠
وَإِنَّ
رَبَّكَ
لَهُوَ
ٱلۡعَزِيزُ
ٱلرَّحِيمُ
١٩١

Wakasema: Hakika wewe ni katika walio rogwa. (185) Na wewe si chochote ila ni mtu tu kama sisi, na kwa yakini tunakuona wewe ni katika waongo. (186) Hebu tuangushie vipande kutoka mbinguni ikiwa wewe ni miongoni mwa wasemao kweli. (187) Akasema: Mola wangu Mlezi anajua zaidi mnayo yatenda. (188) Basi walimkanusha, na ikawashika adhabu ya siku ya kivuli. Hakika hiyo ilikuwa adhabu ya siku kubwa. (189) Hakika katika hayo ipo Ishara, lakini hawakuwa wengi wao wenye kuamini. (190) Na hakika Mola wako Mlezi bila ya shaka ndiye Yeye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu. (191)
–Sura Ash-Shu'ara [26:185-191]

Endelea Kuungana na Qur'ani ❤️

Vikumbusho vifupi vyenye maana vinavyoweka upya maisha yako, kukusaidia kutafakari na kuendelea kushikamana na Qur'ani.

Soma, Sikiliza, Tafuta, na Tafakari Qur'ani

Quran.com ni jukwaa linaloaminika na linalotumiwa na mamilioni duniani kote kusoma, kutafuta, kusikiliza na kutafakari kuhusu Qur'ani katika lugha tofauti. Inatoa huduma za tarjuma, tafsiri, vikariri, tarjuma ya neno kwa neno, na zana za ufahamu wa kina, kuifanya Qur'ani ipatikane na kila mtu.

Kama mbinu ya Sadaqah Jariyah, Quran.com imejitolea kusaidia watu kuunganishwa kwa kina na Qur'ani. Ikiungwa mkono na Quran.Foundation , shirika lisilo la faida la 501(c)(3), Quran.com inaendelea kukua kama rasilimali ya bila malipo na yenye thamani kwa wote, Alhamdulillah.

Chunguza
Nyumbani
Redio ya Qur'ani
Wasomaji
Kutuhusu
Watengenezaji
Sasisho za Bidhaa
Maoni
Msaada
Changia
Miradi Yetu
Quran.com
Quran For Android
Quran iOS
QuranReflect.com
Quran.AI
Sunnah.com
Nuqayah.com
Legacy.Quran.com
Corpus.Quran.com
Miradi isiyo ya faida inayomilikiwa, kusimamiwa, au kufadhiliwa na Quran.Foundation
Viungo Maarufu

Ayatul Kursi

Yaseen

Al Mulk

Ar-Rahman

Al Waqi'ah

Al Kahf

Al Muzzammil

Ramani ya tovutiFaraghaSheria na Masharti
© 2026 Quran.com. Haki Zote Zimehifadhiwa
Changia