یقینا یہ تو ایک یاد دہانی ہے۔ تو جو چاہے اپنے ربّ کی طرف راستہ اختیار کرلے۔
تفاسیر
لیئرز
اسباق
تدبرات
جوابات
قرأت
حدیث
Hakika ndani ya sura hii, kwa yaliyomo ya kuvutia na kuogopesha, ya kuahidi mema na kuonya mabaya, kuna mawaidha kwa viumbe wote. Basi mwenye kujitakia wema nafsi yake ya duniani na Akhera, na ashike njia ya Imani na uchamungu itakayomfikisha kwenye msamaha wa Mwenyezi Mungu na radhi Zake.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel